THTU stands for The Tanzania Higher Learning Institutions Trade Union. It is an organisation registered on the 12th December 2008 (Reg. No. 23) under the Tanzania Trade Union Registration Act. THTU was established primarily to provide a national forum for Higher Learning Institutions' workers to deliberate on matters that affect workers welfare, Institutional welfare, productivity and broader community interests that impinge on their ability to participate effectivelly in national development.
Saturday, May 5, 2012
THTU WAKALA MAALUMU WA MAJADILIANO UDOM KUANZIA 3/ MAY 2012
Chama cha wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya juu (THTU), tawi la UDOM , kimepewa hadhi ya kuwa wakala pekee wa majadiliano kupitia barua ya Makamu Mkuu wa Chuo, Prof Idris S. Kikula yenye Kumb. Na. UDOM/VC/THTU/175/38.
Hatua hii imefuatiwa baada ya kuwazidi wanachama chama cha RAAWU. Ambao uwakala wao ulisimama rasmi tarehe 3/May 2012. Sasa kila tunaposheherekea Sikukuu ya wafanyakazi duniani, tunajiandaa kusheherekea ushindi huu.
Kwa niaba ya Kamati ya utendaji ya THTU, wanawashukuru sana wanachama wake kwa kuendelea kuwaunga mkono. Moto wetu kwa sasa ni kuhakikisha wafanyakazi wote waliofukuzwa wanarudi. Ajenda nyingine tutaanza kujadili kwa kina baada ya kufanya ukombozi wa wafanyakazi ambao wamefukuzwa kinyume na sheria.
Chama kimejiandaa vyema. Na kinapenda kiwahakikishie hakuna mtu atakayepotea. Kwa taarifa zaidi tembela
FACEBOOK PAGE
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.