Dear Members,
Kumekuwa na malalamiko kwa wanachama wetu, either wamepunjwa mshahara au kuna stahiki zao wamenyimwa. Lakini wengi wao wakiwafuata viongozi wa kamati ya utendaji kulalamika wakitaka msaada wa kufuatilia ili haki itendeke.
Napenda kuchukua fursa hii kutoa rai, namna nzuri ya kuwasilisha malalamiko yako, andika barua kwenda kwa
KATIBU WA TAWI,
THTU UDOM BRANCH.
P.O.BOX 1472,
DODOMA.
kwenye barua yako eleza vizuri hoja juu ya malalamiko yako, weka viambatanisho vyote muhimu, na ikabidhi mapema kwa Katibu, ambaye atatoa muongozo namna nzuri ya kushughulikia tatizo lako. Matatizo yatakayowasilishwa kwa mdomo tu, hayatashughulikiwa kwa kuwa hayana grounds kwa ajili ya ufuatiliaji. Ikiwa utakabidhi malalamiko yako kwa maandishi.
Tumeshazungumza na Katibu ndani ya siku 7, atakuwa ameshatoa muongozo juu ya kero husika.
NIA NA MWELEKEO WETU DAIMA NI KUJENGA
THTU stands for The Tanzania Higher Learning Institutions Trade Union. It is an organisation registered on the 12th December 2008 (Reg. No. 23) under the Tanzania Trade Union Registration Act. THTU was established primarily to provide a national forum for Higher Learning Institutions' workers to deliberate on matters that affect workers welfare, Institutional welfare, productivity and broader community interests that impinge on their ability to participate effectivelly in national development.
Mbali ya anuani tajwa hapo juu, unaweza pia kutumia barua pepe ( thtu.udom@gmail.com ) au mpigie Katibu wa tawi kwa msaada zaidi ( +255759018000 )
ReplyDeleteTushirikiane na kuendelea kupeana mawazo, wanachama wapya form watazipata kwa wajumbe wote wa kamati ya utendaji.
NIA NA MWELEKEO WETU DAIMA NI KUJENGA!